Wednesday, 31 December 2014
WADAU MAONI YENU KWA AJILI YA KAZI MPYA KATIKA MWAKA MPYA NA MUONEKANO MPYA
HABARI ZENU WADAU WA NISHA'S FILM PRODUCTION KAMPUNI YENU MUIPENDAYO YA MWANA DADA SLMA JABU NISHA INATARAJIA KUINGIA MZIGONI KAMA ILIVYO KAWAIDA YETU HUWA TUNAPENDA KUWAPA NAFASI AU KUCHAGUA KILE KITU AMBACHO MNAKIPENDA KWANI NYIE NDIO WATEJA WA KAZI TUNAZO ZIFANYA. WEWE KAMA MDAU TUNAOMBA UTUTAJIE MSANII GANI WA KIUME UNGEPENDA ACHEZE NAYE KATIKA MOVIE YAKE MPYA AU KITU GANI AONGEZE. MAONI YENU TAFADHALI
SALMA JABU NISHA'S BLOG: MAREHEMU JUMA KILOWOKA (SAJUKI) KUSOMEWA DUA 02/01...
SALMA JABU NISHA'S BLOG: MAREHEMU JUMA KILOWOKA (SAJUKI) KUSOMEWA DUA 02/01...: 02.01.2015 kutakuwa na dua itakayosomwa kwenye kaburi lake kisutu Dar es salaam kuanzia saa nne asubuhi,na badae kutakuwa na dua ny...
MAREHEMU JUMA KILOWOKA (SAJUKI) KUSOMEWA DUA 02/01/2015
02.01.2015
kutakuwa na dua itakayosomwa kwenye kaburi lake kisutu Dar es salaam
kuanzia saa nne asubuhi,na badae kutakuwa na dua nyumbani Tabata pamoja
na chakula cha mchana kwa watakaojaliwa naomba tuungane pamoja kwenye
dua hii, R.I.P Juma Kilowoka Sajuki
Sunday, 28 December 2014
NISHA AJISAFISHA NAFSI KUUANZA MWAKA MPYA SAFI AMA NENEEEEEEEE!!!!!!
Kila
binaadam anaijua leo kesho haijui,tumebakisha siku chache inshaallah
mwaka uishe,sijui km ntafika au sifiki. Kikubwa leo hii ambayo nimeiona
naomba nichukue fursa hii kumuomba msamaha kila ambaye nlimkosea,Iwe
kwa bahati mbaya au kwa makusudi,. Sitokuwa mpya mwaka 2015 coz ni yule
yule ila ntakuwa na amani ya roho nikiwa safi kwa kila mmoja... amani
idumu,nawapenda nyoteee,mashabiki zangu na wasio wangu pia nawapenda..
mm binafsi nimemsamehe kila mtu alonikosea.. NIKISEMA WOTE NAMAANISHA
WOTE MNISAMEHE NA TUFUNGUE UKURASA UPYA. Happy new year ingawa haijafika... kesho ntathanx kwa ajili ya#HAKUNAMATATA ambayo itakuwa imetimiza week tangu itoke tukijaaliwa.
Friday, 26 December 2014
HAKUNA MATATA YALITIKISA SOKO LA FILAMU
HAKUNA MATATA ni filamu inayotoka katika kampuni ya Nisha's film production ambayo imeingia sokoni mwezi huu tarehe 22 ndio filamu inayoongoza kununuliwa sana katika filamu zilizo toka mwezi huu.
Dogo mmoja kutoka Dodoma akiwa amejipatia nakala zake za HAKUNA MATATA hao ndio mashabiki wakubwa wa msanii SALMA JABU NISHA.
KIJANA OTHMAN THINEY KUTOKA DAR ES SALAAM YEYE NDIO MTEJA WA KWANZA KWANI ALIKWENDA KWENYE MADUKA YA STEPS SAA KUMI NA MBILI NA NUSU ALIONA KUSUBIRIA MACHINGA ATACHELEWA UTAMU WA HAKUNA MATATA
Dogo mmoja kutoka Dodoma akiwa amejipatia nakala zake za HAKUNA MATATA hao ndio mashabiki wakubwa wa msanii SALMA JABU NISHA.
KIJANA OTHMAN THINEY KUTOKA DAR ES SALAAM YEYE NDIO MTEJA WA KWANZA KWANI ALIKWENDA KWENYE MADUKA YA STEPS SAA KUMI NA MBILI NA NUSU ALIONA KUSUBIRIA MACHINGA ATACHELEWA UTAMU WA HAKUNA MATATA
Tuesday, 11 November 2014
Happy Birthday Manager Wa Nisha's Film Production.
Leo ni birthday ya production manager wa Nisha's Film Othmani Thiney Mungu akubariki katika kila jambo
Make Money at : http://bit.ly/best_tips
Make Money at : http://bit.ly/best_tips
Nisha Kutwaa Tuzo ya Oscar 2015 !
kwa tetesi zilizotufikia hivi punde,filamu ya mwanadada,mwanaharakati anayejituma sana na asiye na ma-scandal kwenye kiwanda cha filamu Tanzania superstar SALMA JABU NISHA ambayo tumekuwa tukiiona sana matangazo yake hivi karibuni katika filamu zinazotoka za Steps Entertainment iitwayo HAKUNA MATATA imetabiriwa kuchukua Tuzo za OSCAR na GOLDEN GLOBE AWARDS
Wednesday, 5 November 2014
Sitti Mtemvu Kuvuliwa Taji La Miss Tanzania Muda Wowote Kuanzia Sasa !
Wakati serikali kupita Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), ikisema itakifuta cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu, taarifa zinasema kwamba hawezi tena kuendelea na taji hilo. Imethibitisha kwamba uamuzi umekwisha kufanyika wa kumvua Sitti taji hilo alilovikwa katika mazingira tata, uamuzi unaotarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa.
Photos: Nisha Akishuti Filamu Mpya Na Wasanii Wa Zanzibar House Of Talent.
Star mkubwa wa filamu Tanzania Nisha Salma Jabu hivi juzi kati alikuwa Zanzibar kwa ajili ya kufanya kazi ya filamu na Zanzibar House Of Talent katika kuinua vipaji vipya ukifikiria mwenyewe anatokea visiwani humo. Nisha alisema bado hajaridhika na mafanikio aliyopata kupitia filamu kwani shida yake sio umaarufu bali kuwa mwanamke mwenyewe mafanikio.......
Friday, 31 October 2014
Wema Na Diamond Wamwagana !
Diamond Platnumz na Wema Sepetu wanadaiwa kumwagana kimtindo kwa mujibu wa gossip mpya. wawili hao inasemekana hawapo kwenye mahusiano mazuri na inaelekea wamemwagana
Saturday, 11 October 2014
Sina Uhusiano Wa Kimapenzi Na Msami Kama Inavyozushwa: Irene Uwoya
Star wa filamu mwenye jina kubwa nchini Tanzania Irene Uwoya amesema kuwa hana uhusiano wa kimapenzi naMsami ambaye ni moja wa wakufunzi wa Tanzania House Of Talents(THT) kwa upande wa dancers.
Tuesday, 30 September 2014
Rose Ndauka Na Malick Bandawe Wamwagana.
Wachumba wa muda mrefu, star wa sinema za Tanzania, Rose Ndauka na Malick Bandawe ambao maisha yao ya kimapenzi yamekuwa yakitawaliwa na msuguano wa chini kwa chini, hatimaye wameachana Globalpublishers imeripoti
Sipendi Beef Zisozona Kichwa Wala Miguu: Davina
Davina |
Kazi Zangu Ni Bora Ndiyo Maana Mashabiki Wakanipigia Kura Kupata Tuzo: Nisha
Wednesday, 24 September 2014
Wanawake Kunyanyaswa Kunanikera Sana: Nisha
Sunday, 21 September 2014
Nisha Adaiwa Ni Mfano wa Kuwa Balozi Wa Jamii.
Baada ya filamu zake nyingi kufanya vizuri sokoni na kusapoti jamii isiyojiweza mara kwa mara mashabiki wa muigzaji Nisha Salma Jabu wanataka muigizaji huyo awe balozi wa mambo ya kijamii kupitia kazi zake za sanaa .
Saturday, 13 September 2014
Nisha Ndani Ya Clouds Fm Kuzungumzia Kazi Zake Za Filamu Na Changamoto.
MALKIA WA FILAMU TANZANIA SALMA JABU NISHA JANA AKIHOJIWA KATIKA KIPINDI CHA LEO TENA NDANI YA CLOUDS FM ALIIELEZEA FILAMU YA KIDUME PAMOJA NA CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI KATIKA KAZI ZAKE VILEVILE ALIELEZEA UTARATIBU ALIOJIWEKEA KWA KILA MWISHO WA MWEZI KWENDA KUWA TEMBELEA WATOTO YATIMA NA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NAKUWAPATIA KILE ALICHOJAALIWA.
Tuesday, 9 September 2014
Neema Wa 20% Aja Kivingine Na Filamu Ya Mbwamwitu.
Saturday, 6 September 2014
Nisha Atoa Misaada Ya Magodoro, Vyandarua Na Mashuka Kwa Yatima.
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Salma Jabu Nisha ametoa misaada ya magodoro, mashuka na vyandarua katika kituo cha watoto yatima kilichopo maeneo ya Kigamboni ,
Friday, 5 September 2014
Thursday, 21 August 2014
Justin Bieber Kuhusu Kupendwa Hilo Niachie Mimi: Lulu
Star wa filamu Swahiliwood Lulu Elizabeth Michael amesisitiza kuwa yupo serious kuhusu kumpenda Justin Bieber mwanamuziki maarufu wa Marekani. Lulu aliwafungukia pia wale wanaomwambia anaota kwa kusema hajali wayasemayo ila yeye anampenda Bieber kwa dhati kuliko kina Selena Gomez. Kuitia Instagram Lulu aliweka picha ya Bieber leo na kuandika..........
Esha Buheti Alazwa Hospitalini.
Muigizaji wa filamu nchini Esha Buheti amelazwa hospitalini kutokana na kusumbuliwa na vidonda vya tumbo.
Thursday, 14 August 2014
Jackie Cliff Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 6 Nchini China Baada Ya Kupatikana Na Hati
Wednesday, 13 August 2014
Nisha Aingia Location Kushuti Filamu Mpya.
Star wa filamu nchini Salma Jabu Nisha kwasasa anashui filamu mpya katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam na wasanii wenzake kadhaa akiwemo King Majuto na Hemedy. picha zaidi zitakujia....
Jackline Wolper Shares New Hot Photos.
Actress Jackline Wolper looking dashing wish her new colorful hair. Her choices of outfits always make her stunning............
Thursday, 31 July 2014
Frank Kuja Kufanya Filamu Na Chris Tucker Wa Hollywood Na Rose Ndauka.
![]() |
Frank |
Actress Faiza Ally Aonyesha Tattoo Yake Mpya.
Actress Faiza Ally mara nyingi hajali maneno ya watu watasema nini yeye hufanya anachopenda na kinachompa furaha in her life. Faiza has new tattoo and aliamua kuiweka wazi, tattoo hiyo ipo eneo la shingoni kwa nyuma kama inavyoonekana pichani.
Friday, 25 July 2014
Lulu Amfungukia Ali Kiba Na Kutoa Makavu Kwa Wanaoendekeza Ushabiki.
Ujio mpya wa Ali Kiba ulikuwa jana usiku alipoachia nyimbo zake mbili mpya ambazo response ya mashabiki ni nzuri. Sasa kupitia Instagram star wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu" amefunguka haya.....
Thursday, 24 July 2014
Naitumia Vizuri Fursa Kuwekeza Katika Ardhi Na Ujenzi Na Sio Kushindana Kuvaa Na Kwenda Club: Nisha
Star mkubwa wa filamu Tanzania Salma Jabu Nisha amesema kuwa anaitumia vizuri fursa anayoipata sasa katika kazi zake za sanaa kwa kuwekeza kwa ajili ya maisha yake ya baadae hususani katika ardhi na ujenzi na sio kushindana kuvaa, kwenda club na starehe nyinginezo zisizo na maana kama baadhi ya wasanii wengine halafu baadaye wanaishia kulalamikia maisha wakati wao wanaigiza maisha kwa kuendekeza starehe.
Sina Mpango Wa Kuwa Mwanasiasa kama Baadhi Ya Wasanii Wenzangu: Frank Mohamed Mwikongi
Muigizaji maarufu wa filamu Tanzania Frank Mohamed Mwikongi amesema kuwa hana mpango wa kuingia katika siasa kama ilivyo kwa baadhi ya wasanii wenzake ambao siku za hivi karibuni wameamua kutumbukia huko. Frank alisema kuwa hana ndoto ya kuwa mwanasiasa ingawa anaweza kuwa mfuasi wa chama chochote kile cha siasa.
Wednesday, 16 July 2014
Odama Amuanika Mwanae Miezi Kadhaa Baada Ya Kujifungua.
Baada ya watu na mashabiki wa star wa filamu nchini Odama Jennifer Kyaka kusubiri kwa hamu kubwa kumuona mtoto wa star huyo aliyejifungua hivi karibuni bila mafanikio. Hatimaye star huyo kupitia Instagram leo hii amemuweka wazi mwanae huyo alijifungua takribani miezi miwili na nusu iliyopita.
Sexy Kajala Masanja Covers Vibe Magazine New Issue
Sexy.....sexy.... Kajala on the Vibe magazine Tz for the July issue. Her styling was on point and the photographer did a great job..
Saturday, 5 July 2014
King Majuto, Sabby Angel, Tino, Dude And Leo Shoot New Film In Kenya.
![]() |
Sabby Angel |
Jokate Akana Kuvunja Ndoa Ya Dida Na Ezden.
Model, actress na designer maarufu nchini Jokate Mwegelo amepangua madai ya kuwa inawezekana anahusikia na kuvunjika kwa ndoa ya Dida na Ezden. Jokate na Ezden wapo karibu wakiwa watangazaji wa kipindi cha The One Show kupitia TV1, hata hivyo akizungumza na GPL Jokate aliwawakia watu wanaopenda kuungaunga mambo kwa kusema
Sipendi Kufanya Mambo Ya Ajabu Yatakayopelekea Kunichafua: Nisha
![]() |
Nisha |
Thursday, 12 June 2014
Zena Na Betina Yaingia Sokoni Kwa Kishindo Kikubwa.
Filamu ya Zena Na Betina imeingia kwa kishindo sokoni leo hii, Hakikisha unanunua nakala yako halisi
Wednesday, 11 June 2014
Zena Na Betina Kuwasha Kivumbi Sokoni Kesho Tarehe 12 June.
![]() |
Nisha |
Sunday, 8 June 2014
Filamu Ya ZENA NA BETINA Kutikisa Soko La Filamu Nchini !
Zimebaki siku chache kwa filamu ya ZENA NA BETINA kuingia sokoni huku ikisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa filamu za kitanzania. Filamu hiyo itaingia sokoni tarehe 12 mwezi huu wa June. Mastaa ndani ya movie hiyo ni Nisha, Manaiki Sanga, Jennifer wa Kanumba, Senga, Farida Sabu na wengineo. usikose kununua nakala yako halisi.
Shamsa Ford Afunguka Kufuatia Picha Chafu Zinazodaiwa Kuwa Zake Akiwa Na Mbunge Kusambaa.
![]() |
Shamsa Ford |
Wema Sepetu, Diamond Na Aunty Ezekiel Katika Red Carpet MTV Africa Music Awards 2014
Wema na Diamond |
Thursday, 5 June 2014
Nisha Ndani Ya TBC1 Katika Interview Kuhusu Zena Na Betina.
![]() |
Nisha |
Monday, 2 June 2014
ZENA NA BETINA Yasubiriwa Kwa Hamu Kubwa.
Filamu ya ZENA NA BETINA ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa filamu za kitanzania inatarajiwa kuingia sokoni kwa kishindo tarehe 12 June. Hakikisha unanunua nakala yako halisi
Wednesday, 28 May 2014
ZENA NA BETINA Kutoka Tarehe 12 June Na Sio Tarehe 29 May.
![]() |
Nisha |
Muigizaji Sabby Angel Ajichia Kwa Mapozi Sexy, Jionee Mwenyewe.
Irene Uwoya Atoka Kimapenzi Na Dancer Wa THT.
![]() |
Uwoya na Msami |
Tuesday, 20 May 2014
Nisha Atinga Ofisi Za Sani Kisa Filamu Ya Zena Na Betina.
Nisha |
Subscribe to:
Posts (Atom)