![]() |
Nisha |
Wednesday, 28 May 2014
ZENA NA BETINA Kutoka Tarehe 12 June Na Sio Tarehe 29 May.
Muigizaji Sabby Angel Ajichia Kwa Mapozi Sexy, Jionee Mwenyewe.
Irene Uwoya Atoka Kimapenzi Na Dancer Wa THT.
![]() |
Uwoya na Msami |
Tuesday, 20 May 2014
Nisha Atinga Ofisi Za Sani Kisa Filamu Ya Zena Na Betina.
Nisha |
Adam Kuambiana Aagwa Katika Viwanja Vya Leaders.
Shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini, Marehemu Adam Kuambiana inaendelea hivi sasa kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Marehemu kuambiana anatarajiwa kuzikwa leo hii kwenye Makaburi ya Kinondoni hapa hapa jijini Dar.
Sunday, 18 May 2014
Anayoyafanaya Nisha Mastaa Wenzake Wengi Yanawashinda.
Muigizaji wa filamu mwenye jina kubwa nchini Salma Jabu Nisha hajulikani tu kwa kazi zake za filamu bali anajulikana pia kwa kujitoa katika matukio mbalimbali ya kijamii ikiwemo kusaidia wasiojiweza na watoto yatima mara kwa mara kitu ambacho hufanywa na wasanii wachache sana. Jana katika msiba wa msanii mwenzake Adam Kuambiana, muigizaji huyo aliweka u-star wake pembeni na kujitosa kupika maandazi kama anavyoonekana pichani.
Gazeti La Sani Lamshitaki Nisha Na Kumtaka Atoe Fidia Ya Mil.100 Kisa ZENA NA BETINA.
![]() |
Nisha |
Habari mpya ni kuwa gazeti la Sani limemshitaki star mkubwa wa filamu nchini Salma Jabu Nisha baada ya star huyo kutumia jina la katuni maarufu za Zena na Betina katika filamu yake mpya. Nisha alitumia jina la ZENA NA BETINA katika filamu yake mpya ambayo ina mastaa kibao kama vile Hanifa Daudi(Jeniifer wa Kanumba) aliyecheza kama Betina na Nisha kama Zena. Sani limemshitaki Nisha au atoe faini ya million 100 kwa kuwa Zena na Betina ni katuni maarufu toka gazeti la Sani.
Filamu ya ZENA NA BETINA ipengwa kutoka tarehe 29 mwezi huu. huku mastaa wengine ndani ya filamu hiyo wakiwa ni Senga, Manaiki Sanga, Farida Sabu, Lumolwe Matovolwa na wengineo.
Filamu ya ZENA NA BETINA ipengwa kutoka tarehe 29 mwezi huu. huku mastaa wengine ndani ya filamu hiyo wakiwa ni Senga, Manaiki Sanga, Farida Sabu, Lumolwe Matovolwa na wengineo.
Saturday, 17 May 2014
ADAM KUAMBIANA AFARIKI DUNIA GHAFLA.
![]() |
Adam Kuambiana |
Wednesday, 14 May 2014
ZENA NA BETINA Yaongelewa Kila Kona Ya Nchi Hata Kabla Ya Kuingia Sokoni
![]() |
Nisha |
Friday, 9 May 2014
Mzuka Wa ZENA NA BETINA Wasambaa Kwa Kasi Mikoani.
Filamu mpya ya ZENA NA BETINA kutoka Nisha's Films Production chini ya mkurugenzi wake Salma Jabu Nisha imeanza kuuliziwa na mashabiki wake wengi hasa wa mikoani huku ikiwa bado kuingia sokoni. Nisha mwenyewe ambaye ni star mkubwa wa filamu kwasasa amesema kuwa anawaomba mashabiki wake watulize mzuka wa ZENA NA BETINA kwani filamu hiyo itaingia sokoni tarehe 29 mwezi huu wa tano 2014 na ndipo mashabiki wa filamu za Tanzania watakaposhuhudia humo ndani mambo yaliyofanywa na Nisha, Hanifa Daudi "Jennifer wa Kanumba", Senga, Lumolwe Matovolwa "Biggie", Farida Sabu "Mama Sonia", Manaiki Sanga na wasanii wengine machachari. Filamu hiyo imeongozwa na Leah Richard Mwendamseke "Lamata".
Monalisa, Riyama, Wastara And Cloud Shooting New Movie In London.
![]() |
Wastara |
Wema Sepetu Azifuma SMS Za Mazungumzo Ya Kajala Na Clement Yule Kigogo Wa Ikulu !
Unaweza ukaficha siri na ukaamini hakuna atakayejua bila kukumbuka kuwa hakuna siri ya watu wawili ! Hatimaye Wema Sepetu amenasa ushahidi wa aliyekuwa rafikiye kipenzi, Kajala Masanja wa kumwibia aliyekuwa bwana’ke, Clement au CK, yule kigogo wa ikulu
Thursday, 8 May 2014
BASATA NA BODI YA FILAMU MSITUBANIE SANA DUNIA INABADILIKA: LULU
Star machachari kunako tasnia ya filamu nchini Elizabethn Michael "Lulu" ameviomba vyombo vinavyohusika na ukuzaji na utoaji wa vibali katika tasnia ya filamu nchini vikwemo BASATA na Bodi ya Filamu Tanzania visibane sana kuhusu wasanii kuvaa nguo fupi katika filamu kwasababu hawafanyi hivyo muda wote ila hutokea kama story imetaka muigizaji avae mavazi ya aina hiyo. Vile vile Lulu amesema kuwa mabadiliko ya mazingira na wakati yanahusika kwa wasanii kubadilika kimavazi kwasababu jamii za wakati huo ni tofauti na sasa
. "Wanasema hatufuati maadili wakati kuna movies ambazo zipo theatre na watu wanaangalia hazina maadili, wao wanataka tufanye vitu kwa kudanganya wakati sasa hivi tuko dunia ambayo tuna takiwa tuweke vitu wazi, wasibane sana" alisema Lulu wakati akizungumza na GPL
. "Wanasema hatufuati maadili wakati kuna movies ambazo zipo theatre na watu wanaangalia hazina maadili, wao wanataka tufanye vitu kwa kudanganya wakati sasa hivi tuko dunia ambayo tuna takiwa tuweke vitu wazi, wasibane sana" alisema Lulu wakati akizungumza na GPL
NISHA ASEMA HANYWI POMBE NA HATAKI HATA KUISIKIA.
Salma Jabu Nisha ambaye ni star wa filamu aliyekubalika kwa muda mfupi ndani ya tasnia hiyo amesema kuwa moja ya vitu ambavyo havipendi na hatakuja kuvigusa ni unywaji wa pombe. Nisha amesema kuwa hapendi pombe na pia huwa hahudhurii events zinazodhamniwa na pombe kwakuwa dini yake hairuhusu unywaji wa pombe. "mimi huwa siendi kwenye event zinazodhaminiwa na pombe, pia sinywi pombe kabisa, unajua katika sanaa huwa naigiza tu ili kufikisha ujumbe kwa jamii lakini mimi binafsi sinywi kwakuwa dini yangu ya kiislam hairuhusu" Alisema Nisha ambaye anatajwa kama mmoja wa mastaa wachache wanaojitoa kuisaidia jamii mara kwa mara.
Filamu mpya ya Nisha inayoitwa ZENA NA BETINA inatarajiwa kuingia sokoni tarehe 29 mwezi huu wa May usikose kununua nakala yako halisi.
Filamu mpya ya Nisha inayoitwa ZENA NA BETINA inatarajiwa kuingia sokoni tarehe 29 mwezi huu wa May usikose kununua nakala yako halisi.
Wednesday, 7 May 2014
Lucy Komba Amuweka Wazi Mpenzi Wake Mzungu
Star wa filamu Swahiliwood Tanzania, Lucy Komba ameamua kumuweka wazi mpenzi wake ambaye wana muda sasa tangu wawe pamoja. Jamaa huyo ni raia wa Denmark ambaye ni msanii wa muziki na pia akiwa na kazi zake nyingine mbali na muziki. Swahiliworldplanet imefanikiwa kuzipata picha za Lucy na mpenzi wake huyo kama wanavyoonekana pichani.
Nisha Apongezwa Kwa Kuisaidia Jamii Mara Kwa Mara.
Muigizaji mwenye jina kubwa katika tasnia ya filamu nchini Salma Jabu Nisha amepongezwa na watu mbalimbali kutokana na moyo wake wa kujitoa kila mara kwa jamii ya watu wasiojiweza. Nisha amekuwa akitoa misaada kwa vituo vya watoto yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu kama alivyofanya juzi Jumapili katika kituo cha yatima huko Vingunguti, Dar es salaam kwa kutoa misaada mbalimbali kama vile unga, mafuta ya kupikia, sabuni na misaada mingine.
Wiki iliyopita pia Nisha alichaguliwa kuwa balozi wa Steps Solar
.
Tungependa kumpongeza Nisha kwa kitendo hicho cha kuisaidia jamii na kuwa mfano wa kuigwa. Kwa upande mwingine filamu mpya ya Nisha inayoitwa ZENA NA BETINA itaingia sokoni tarehe 29 mwezi May 2014 hakikisha unanunua nakala yako halisi.
Wiki iliyopita pia Nisha alichaguliwa kuwa balozi wa Steps Solar
.
Tungependa kumpongeza Nisha kwa kitendo hicho cha kuisaidia jamii na kuwa mfano wa kuigwa. Kwa upande mwingine filamu mpya ya Nisha inayoitwa ZENA NA BETINA itaingia sokoni tarehe 29 mwezi May 2014 hakikisha unanunua nakala yako halisi.
Monday, 5 May 2014
PHOTOS: NISHA ATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA.
![]() |
Nisha akiwa na watoto hao |
Sunday, 4 May 2014
Friday, 2 May 2014
Muigizaji wa Filamu Sabby Angel Kugombea Ubunge 2015.
Muigizaji wa filamu nchini Tanzania Sabby Angel ambaye filamu zake mbili zaMoto Wa Radi akiwa na Mohamed Musa na Siri Ya Giningi akiwa na Salim Ahmed "Gabo" muda wowote kuanzia sasa zitaingia sokoni amesema kuwa anapenda siasa na kuna uwezekano siku za usoni akajitosa mzima mzima ili kuwatumikia wananchi. Haikujulikana kama Sabby Angel atagombea ubunge au nafasi gani ingawa elimu yake ni ya chuo. "Nina interest na siasa and siku za usoni naweza kuingia huko rasmi" alisema Sabby akizungumza na Swahiliworldplanet
Monalisa, Wastara, Cloud Na Riyama Ally Waibukia London, Uingereza.
Kajala Adai Kuogopa Kushika Simu Yake Sababu Ya Beef Lake Na Wema Sepetu.
![]() |
Wema na Kajala |
Kajala alipoulizwa kuhusu madai kuwa alianza kumdharau Wema baada ya kuanza kuyumba katika suala la pesa Kajala alipangua madai hayo kwa kusema kuwa walikuwa marafiki muda mrefu hata kabla Wema hajawa na pesa hivyo asingeweza kufanya kitendo hicho " alikuwa rafiki yangu kabla hana kitu, kwa hiyo madai kwamba nilianzisha urafiki na Wema kwasababu alikuwa na hela lakini sasa hivi hana hela tena mimi sio rafiki yangu tena sio kweli" alisema star huyo wa filamu za Devil Kingdom, Kigodoro na Kijiji Cha Tambua Haki.
Kajala aliongeza kwa kusema kuwa kutofautiana kwao kumemuathiri "inaniathiri sana kwasababu ni mtu ambaye nimemzoea, mtu ambaye tumefanya vitu vingi kwahiyo sometimes nikikaa nam-miss"
Subscribe to:
Posts (Atom)