Thursday, 12 June 2014
Zena Na Betina Yaingia Sokoni Kwa Kishindo Kikubwa.
Filamu ya Zena Na Betina imeingia kwa kishindo sokoni leo hii, Hakikisha unanunua nakala yako halisi
Wednesday, 11 June 2014
Zena Na Betina Kuwasha Kivumbi Sokoni Kesho Tarehe 12 June.
![]() |
Nisha |
Sunday, 8 June 2014
Filamu Ya ZENA NA BETINA Kutikisa Soko La Filamu Nchini !
Zimebaki siku chache kwa filamu ya ZENA NA BETINA kuingia sokoni huku ikisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa filamu za kitanzania. Filamu hiyo itaingia sokoni tarehe 12 mwezi huu wa June. Mastaa ndani ya movie hiyo ni Nisha, Manaiki Sanga, Jennifer wa Kanumba, Senga, Farida Sabu na wengineo. usikose kununua nakala yako halisi.
Shamsa Ford Afunguka Kufuatia Picha Chafu Zinazodaiwa Kuwa Zake Akiwa Na Mbunge Kusambaa.
![]() |
Shamsa Ford |
Wema Sepetu, Diamond Na Aunty Ezekiel Katika Red Carpet MTV Africa Music Awards 2014
Wema na Diamond |
Thursday, 5 June 2014
Nisha Ndani Ya TBC1 Katika Interview Kuhusu Zena Na Betina.
![]() |
Nisha |
Monday, 2 June 2014
ZENA NA BETINA Yasubiriwa Kwa Hamu Kubwa.
Filamu ya ZENA NA BETINA ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa filamu za kitanzania inatarajiwa kuingia sokoni kwa kishindo tarehe 12 June. Hakikisha unanunua nakala yako halisi
Subscribe to:
Posts (Atom)