![]() |
Frank |
Thursday, 31 July 2014
Frank Kuja Kufanya Filamu Na Chris Tucker Wa Hollywood Na Rose Ndauka.
Actress Faiza Ally Aonyesha Tattoo Yake Mpya.
Actress Faiza Ally mara nyingi hajali maneno ya watu watasema nini yeye hufanya anachopenda na kinachompa furaha in her life. Faiza has new tattoo and aliamua kuiweka wazi, tattoo hiyo ipo eneo la shingoni kwa nyuma kama inavyoonekana pichani.
Friday, 25 July 2014
Lulu Amfungukia Ali Kiba Na Kutoa Makavu Kwa Wanaoendekeza Ushabiki.
Ujio mpya wa Ali Kiba ulikuwa jana usiku alipoachia nyimbo zake mbili mpya ambazo response ya mashabiki ni nzuri. Sasa kupitia Instagram star wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu" amefunguka haya.....
Thursday, 24 July 2014
Naitumia Vizuri Fursa Kuwekeza Katika Ardhi Na Ujenzi Na Sio Kushindana Kuvaa Na Kwenda Club: Nisha
Star mkubwa wa filamu Tanzania Salma Jabu Nisha amesema kuwa anaitumia vizuri fursa anayoipata sasa katika kazi zake za sanaa kwa kuwekeza kwa ajili ya maisha yake ya baadae hususani katika ardhi na ujenzi na sio kushindana kuvaa, kwenda club na starehe nyinginezo zisizo na maana kama baadhi ya wasanii wengine halafu baadaye wanaishia kulalamikia maisha wakati wao wanaigiza maisha kwa kuendekeza starehe.
Sina Mpango Wa Kuwa Mwanasiasa kama Baadhi Ya Wasanii Wenzangu: Frank Mohamed Mwikongi
Muigizaji maarufu wa filamu Tanzania Frank Mohamed Mwikongi amesema kuwa hana mpango wa kuingia katika siasa kama ilivyo kwa baadhi ya wasanii wenzake ambao siku za hivi karibuni wameamua kutumbukia huko. Frank alisema kuwa hana ndoto ya kuwa mwanasiasa ingawa anaweza kuwa mfuasi wa chama chochote kile cha siasa.
Wednesday, 16 July 2014
Odama Amuanika Mwanae Miezi Kadhaa Baada Ya Kujifungua.
Baada ya watu na mashabiki wa star wa filamu nchini Odama Jennifer Kyaka kusubiri kwa hamu kubwa kumuona mtoto wa star huyo aliyejifungua hivi karibuni bila mafanikio. Hatimaye star huyo kupitia Instagram leo hii amemuweka wazi mwanae huyo alijifungua takribani miezi miwili na nusu iliyopita.
Sexy Kajala Masanja Covers Vibe Magazine New Issue
Sexy.....sexy.... Kajala on the Vibe magazine Tz for the July issue. Her styling was on point and the photographer did a great job..
Saturday, 5 July 2014
King Majuto, Sabby Angel, Tino, Dude And Leo Shoot New Film In Kenya.
![]() |
Sabby Angel |
Jokate Akana Kuvunja Ndoa Ya Dida Na Ezden.
Model, actress na designer maarufu nchini Jokate Mwegelo amepangua madai ya kuwa inawezekana anahusikia na kuvunjika kwa ndoa ya Dida na Ezden. Jokate na Ezden wapo karibu wakiwa watangazaji wa kipindi cha The One Show kupitia TV1, hata hivyo akizungumza na GPL Jokate aliwawakia watu wanaopenda kuungaunga mambo kwa kusema
Sipendi Kufanya Mambo Ya Ajabu Yatakayopelekea Kunichafua: Nisha
![]() |
Nisha |
Subscribe to:
Posts (Atom)