Thursday, 31 July 2014

Frank Kuja Kufanya Filamu Na Chris Tucker Wa Hollywood Na Rose Ndauka.

Frank
Star mkubwa wa filamu nchini ambaye hana skendo za hovyo hovyo Frank Mohamed Mwikongi amesema kuwa ana ndoto ya kuja kufanya filamu na star wa Hollywood Chris Tucker kwa kuwa anamkubakli sana, na kwa upande wa hapa nchini anataka kufanya kazi na Rose Ndauka kwasababu anaukubali uwezo wake licha ya kuwa tayari wamefanya pamoja filamu ya Waiting Soul lakini yupo mbioni kucheza nae tena filamu mpya.

Actress Faiza Ally Aonyesha Tattoo Yake Mpya.

Actress Faiza Ally mara nyingi hajali maneno ya watu watasema nini yeye hufanya anachopenda na kinachompa furaha in her life. Faiza has new tattoo and aliamua kuiweka wazi, tattoo hiyo ipo eneo la shingoni kwa nyuma kama inavyoonekana pichani.

Friday, 25 July 2014

Lulu Amfungukia Ali Kiba Na Kutoa Makavu Kwa Wanaoendekeza Ushabiki.

Ujio mpya wa Ali Kiba ulikuwa jana usiku alipoachia nyimbo zake mbili mpya ambazo response ya mashabiki ni nzuri. Sasa kupitia Instagram star wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu" amefunguka haya.....

Thursday, 24 July 2014

Naitumia Vizuri Fursa Kuwekeza Katika Ardhi Na Ujenzi Na Sio Kushindana Kuvaa Na Kwenda Club: Nisha

Star mkubwa wa filamu Tanzania Salma Jabu Nisha amesema kuwa anaitumia vizuri fursa anayoipata sasa katika kazi zake za sanaa kwa kuwekeza kwa ajili ya maisha yake ya baadae hususani katika ardhi na ujenzi na sio kushindana kuvaa, kwenda club na starehe nyinginezo zisizo na maana kama baadhi ya wasanii wengine halafu baadaye wanaishia kulalamikia maisha wakati wao wanaigiza maisha kwa kuendekeza starehe.

Sina Mpango Wa Kuwa Mwanasiasa kama Baadhi Ya Wasanii Wenzangu: Frank Mohamed Mwikongi

Muigizaji maarufu wa filamu Tanzania Frank Mohamed Mwikongi amesema kuwa hana mpango wa kuingia katika siasa kama ilivyo kwa baadhi ya wasanii wenzake ambao siku za hivi karibuni wameamua kutumbukia huko. Frank alisema kuwa hana ndoto ya kuwa mwanasiasa ingawa anaweza kuwa mfuasi wa chama chochote kile cha siasa.

Wednesday, 16 July 2014

Odama Amuanika Mwanae Miezi Kadhaa Baada Ya Kujifungua.

Baada ya watu na mashabiki wa star wa filamu nchini Odama Jennifer Kyaka kusubiri kwa hamu kubwa kumuona mtoto wa star huyo aliyejifungua hivi karibuni bila mafanikio. Hatimaye star huyo kupitia Instagram leo hii amemuweka wazi mwanae huyo alijifungua takribani miezi miwili na nusu iliyopita.

Sexy Kajala Masanja Covers Vibe Magazine New Issue

Sexy.....sexy.... Kajala on the Vibe magazine Tz for the July issue. Her styling was on point and the photographer did a great job..

Photos: Kajala Amfanyia Mwanae Party Ya Nguvu Na Kusaidia Walemavu.

Odama, Chuchu na Kajala
Star wa filamu nchini Kajala Masanja juzi alimfanyia mwanae Paula birthday party ya nguvu huku akiwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili vitu mbalimbali. jionee picha............

Saturday, 5 July 2014

King Majuto, Sabby Angel, Tino, Dude And Leo Shoot New Film In Kenya.

Sabby Angel
Tanzanian Swahiliwood actors Sabby Angel, King Majuto, Tino Hisan Muya and Dude Kulwa Kikumba are shooting new film with Kenyan actors including Leo. The film is being shot in Mombasa, Kenya, it is called  Riziki. Sabby Angel is the producer of the film while the director is Tanzania's Timoth Conrad with close assistance by well-known Kenyan film maker and director Hassan Feisal Mufti of Coastal Films. Look some photos of behind the scenes...........

Jokate Akana Kuvunja Ndoa Ya Dida Na Ezden.

Model, actress na designer maarufu nchini Jokate Mwegelo amepangua madai ya kuwa inawezekana anahusikia na kuvunjika kwa ndoa ya Dida na Ezden. Jokate na Ezden wapo karibu wakiwa watangazaji wa kipindi cha The One Show kupitia TV1, hata hivyo akizungumza na GPL Jokate aliwawakia watu wanaopenda kuungaunga mambo kwa kusema

Sipendi Kufanya Mambo Ya Ajabu Yatakayopelekea Kunichafua: Nisha

Nisha
Star wa filamu ya Zena Na Betina, Salma Jabu Nisha amesema kuwa katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan hapendi kabisa kufanya mambo yasiyompendeza Mungu bali anafanya yote yaliyo mema. Nisha amesema kuwa katika maisha yake ya kila siku pia huwa hapendi kunywa vileo wala kwenda Club sana. Nisha  amesema kuwa hafikirii kutengeneza skendo kama baadhi ya wasanii wenzake ili tu wazidi kuwa maarufu kwa madai ni kujichafua na kujishushia heshima mbele ya jamii.