Tuesday, 30 September 2014

Rose Ndauka Na Malick Bandawe Wamwagana.

Wachumba wa muda mrefu, star wa sinema za Tanzania, Rose Ndauka na Malick Bandawe ambao maisha yao ya kimapenzi yamekuwa yakitawaliwa na msuguano wa chini kwa chini, hatimaye wameachana Globalpublishers imeripoti

Sipendi Beef Zisozona Kichwa Wala Miguu: Davina

Davina
"Kuna kitu kinanishangaza sana nimechunguza baadhi ya watu wangu wa karibu wana tasnia wenzangu wanacho sana mfano NASEMA MFANO jamani labda nipo karibu na Cathy(Cathy Rupia) halafu Cathy agombane na Maya(Mayasa Mrisho) kwa mambo yao ambayo hayanihusu eti me nikiongea au kukaa karibu na Maya, Cathy akasirike inaingia akilini jamani.

Kazi Zangu Ni Bora Ndiyo Maana Mashabiki Wakanipigia Kura Kupata Tuzo: Nisha

Nisha na Haji Adam(Baba Haji)
Star mkubwa wa filamu nchini Tanzania Salma Jabu Nisha juzi alionyesha furaha kubwa baada ya kupata tuzo ya muigizaji bora wa kike mchekeshaji(best comedienne) katika tuzo za Action And Cut Viewers Choice Awards zilizotolewa Sunrise resort Kigamboni, Dar es salaam.

Wednesday, 24 September 2014

Wanawake Kunyanyaswa Kunanikera Sana: Nisha

Nisha akiwa na watoto yatima kituo cha Vingunguti
"Takribani week 2 au 3 nimesoma wanawake wachache walopigwa na waume zao,wapo waliokatwa viungo,kuchomwa moto n.k,

Sunday, 21 September 2014

Nisha Adaiwa Ni Mfano wa Kuwa Balozi Wa Jamii.

Baada ya filamu zake nyingi kufanya vizuri sokoni na kusapoti jamii isiyojiweza mara kwa mara mashabiki wa muigzaji Nisha Salma Jabu wanataka muigizaji huyo awe balozi wa mambo ya kijamii kupitia kazi zake za sanaa .

Saturday, 13 September 2014

Nisha Ndani Ya Clouds Fm Kuzungumzia Kazi Zake Za Filamu Na Changamoto.

MALKIA WA FILAMU TANZANIA SALMA JABU NISHA JANA AKIHOJIWA KATIKA KIPINDI CHA LEO TENA NDANI YA CLOUDS FM ALIIELEZEA FILAMU YA KIDUME PAMOJA NA CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI KATIKA KAZI ZAKE VILEVILE ALIELEZEA UTARATIBU ALIOJIWEKEA KWA KILA MWISHO WA MWEZI KWENDA KUWA TEMBELEA WATOTO YATIMA NA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NAKUWAPATIA KILE ALICHOJAALIWA.

Tuesday, 9 September 2014

Neema Wa 20% Aja Kivingine Na Filamu Ya Mbwamwitu.

Actress wa Tanzania aliyejaaliwa kipaji cha kuigiza Neema wa 20% anatarajiwa kuonekana katika filamu mpya inayoitwa "Mbwamwitu" katika filamu hiyo Neema kama kawaida yake amesfanya makamuzi ya kufa mtu huku akiwa na wasanii kama Hemedy PHD.
Mbwamwitu ni short film inayosubiriwa kwa hamu.

Saturday, 6 September 2014

Nisha Atoa Misaada Ya Magodoro, Vyandarua Na Mashuka Kwa Yatima.

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Salma Jabu Nisha ametoa misaada ya magodoro, mashuka na vyandarua katika kituo cha watoto yatima kilichopo maeneo ya Kigamboni ,

Friday, 5 September 2014

Dokii Amzawadia Lucy Komba Kiwanja Katika Kitchen Party Yake.

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Dokii amemzawadia kiwanja star mwenzake wa filamu nchini Lucy Komba katika Kitchen yake iliyofanyika juzi katika ukumbi wa makumbusho ya taifa. Kitchen party ya Lucy Komba ilifunika kwa kutawaliwa na utamaduni wa kitanzania.