Wachumba wa muda mrefu, star wa sinema za Tanzania, Rose Ndauka na Malick Bandawe ambao maisha yao ya kimapenzi yamekuwa yakitawaliwa na msuguano wa chini kwa chini, hatimaye wameachana Globalpublishers imeripoti
Tuesday, 30 September 2014
Sipendi Beef Zisozona Kichwa Wala Miguu: Davina
Davina |
Kazi Zangu Ni Bora Ndiyo Maana Mashabiki Wakanipigia Kura Kupata Tuzo: Nisha
Wednesday, 24 September 2014
Wanawake Kunyanyaswa Kunanikera Sana: Nisha
Sunday, 21 September 2014
Nisha Adaiwa Ni Mfano wa Kuwa Balozi Wa Jamii.
Baada ya filamu zake nyingi kufanya vizuri sokoni na kusapoti jamii isiyojiweza mara kwa mara mashabiki wa muigzaji Nisha Salma Jabu wanataka muigizaji huyo awe balozi wa mambo ya kijamii kupitia kazi zake za sanaa .
Saturday, 13 September 2014
Nisha Ndani Ya Clouds Fm Kuzungumzia Kazi Zake Za Filamu Na Changamoto.
MALKIA WA FILAMU TANZANIA SALMA JABU NISHA JANA AKIHOJIWA KATIKA KIPINDI CHA LEO TENA NDANI YA CLOUDS FM ALIIELEZEA FILAMU YA KIDUME PAMOJA NA CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI KATIKA KAZI ZAKE VILEVILE ALIELEZEA UTARATIBU ALIOJIWEKEA KWA KILA MWISHO WA MWEZI KWENDA KUWA TEMBELEA WATOTO YATIMA NA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NAKUWAPATIA KILE ALICHOJAALIWA.
Tuesday, 9 September 2014
Neema Wa 20% Aja Kivingine Na Filamu Ya Mbwamwitu.
Saturday, 6 September 2014
Nisha Atoa Misaada Ya Magodoro, Vyandarua Na Mashuka Kwa Yatima.
Muigizaji maarufu wa filamu nchini Salma Jabu Nisha ametoa misaada ya magodoro, mashuka na vyandarua katika kituo cha watoto yatima kilichopo maeneo ya Kigamboni ,
Friday, 5 September 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)