Diamond Platnumz na Wema Sepetu wanadaiwa kumwagana kimtindo kwa mujibu wa gossip mpya. wawili hao inasemekana hawapo kwenye mahusiano mazuri na inaelekea wamemwagana
Friday, 31 October 2014
Saturday, 11 October 2014
Sina Uhusiano Wa Kimapenzi Na Msami Kama Inavyozushwa: Irene Uwoya
Star wa filamu mwenye jina kubwa nchini Tanzania Irene Uwoya amesema kuwa hana uhusiano wa kimapenzi naMsami ambaye ni moja wa wakufunzi wa Tanzania House Of Talents(THT) kwa upande wa dancers.
Subscribe to:
Posts (Atom)