Wednesday, 31 December 2014

WADAU MAONI YENU KWA AJILI YA KAZI MPYA KATIKA MWAKA MPYA NA MUONEKANO MPYA


HABARI ZENU WADAU WA NISHA'S FILM PRODUCTION KAMPUNI YENU MUIPENDAYO YA MWANA DADA SLMA JABU NISHA INATARAJIA KUINGIA MZIGONI KAMA ILIVYO KAWAIDA YETU HUWA TUNAPENDA KUWAPA NAFASI AU KUCHAGUA KILE KITU AMBACHO MNAKIPENDA KWANI NYIE NDIO WATEJA WA KAZI TUNAZO ZIFANYA. WEWE KAMA MDAU TUNAOMBA UTUTAJIE MSANII GANI WA KIUME UNGEPENDA ACHEZE NAYE KATIKA MOVIE YAKE MPYA AU KITU GANI AONGEZE. MAONI YENU TAFADHALI

SALMA JABU NISHA'S BLOG: MAREHEMU JUMA KILOWOKA (SAJUKI) KUSOMEWA DUA 02/01...

SALMA JABU NISHA'S BLOG: MAREHEMU JUMA KILOWOKA (SAJUKI) KUSOMEWA DUA 02/01...:   02.01.2015 kutakuwa na dua itakayosomwa kwenye kaburi lake kisutu Dar es salaam kuanzia saa nne asubuhi,na badae kutakuwa na dua ny...

MAREHEMU JUMA KILOWOKA (SAJUKI) KUSOMEWA DUA 02/01/2015


02.01.2015 kutakuwa na dua itakayosomwa kwenye kaburi lake kisutu Dar es salaam kuanzia saa nne asubuhi,na badae kutakuwa na dua nyumbani Tabata pamoja na chakula cha mchana kwa watakaojaliwa naomba tuungane pamoja kwenye dua hii, R.I.P Juma Kilowoka Sajuki

Sunday, 28 December 2014

NISHA AJISAFISHA NAFSI KUUANZA MWAKA MPYA SAFI AMA NENEEEEEEEE!!!!!!

Kila binaadam anaijua leo kesho haijui,tumebakisha siku chache inshaallah mwaka uishe,sijui km ntafika au sifiki. Kikubwa leo hii ambayo nimeiona naomba nichukue fursa hii kumuomba msamaha kila ambaye nlimkosea,Iwe kwa bahati mbaya au kwa makusudi,. Sitokuwa mpya mwaka 2015 coz ni yule yule ila ntakuwa na amani ya roho nikiwa safi kwa kila mmoja... amani idumu,nawapenda nyoteee,mashabiki zangu na wasio wangu pia nawapenda.. mm binafsi nimemsamehe kila mtu alonikosea.. NIKISEMA WOTE NAMAANISHA WOTE MNISAMEHE NA TUFUNGUE UKURASA UPYA. Happy new year ingawa haijafika... kesho ntathanx kwa ajili ya#HAKUNAMATATA ambayo itakuwa imetimiza week tangu itoke tukijaaliwa.

Friday, 26 December 2014

HAKUNA MATATA YALITIKISA SOKO LA FILAMU

 HAKUNA MATATA ni filamu inayotoka katika kampuni ya Nisha's film production ambayo imeingia sokoni mwezi huu tarehe 22  ndio filamu inayoongoza kununuliwa sana katika filamu zilizo toka mwezi huu.
 Dogo mmoja kutoka Dodoma akiwa amejipatia nakala zake za HAKUNA MATATA hao ndio mashabiki wakubwa wa msanii SALMA JABU NISHA.
KIJANA OTHMAN THINEY KUTOKA DAR ES SALAAM YEYE NDIO MTEJA WA KWANZA KWANI ALIKWENDA KWENYE MADUKA YA STEPS SAA KUMI NA MBILI NA NUSU ALIONA KUSUBIRIA MACHINGA ATACHELEWA UTAMU WA HAKUNA MATATA