Wednesday, 24 June 2015
Sunday, 21 June 2015
Hii Ndioo Maana Ya Msemo Wa Msanii Ni Kioo Cha Jamii
Namshukuru M/MUNGU kwa kuweza kutusaidia kufanikisha jambo nililolipanga kuwa iwe kawaida yangu kuwasaidia wale wenye matatizo na waishio katika mazingira magumu napenda kuwashukuru watoto wangu TEAM NISHA kwa kujumuika nami jana bila kujali umbali tuliokwenda pia natoa shukrani zangu za dhati kwa vyombo vya habari.
Napenda kuongea jambo moja kuna watu wanasema nikitoa mkono wa kushoto wakulia usijue wakiwa namaana unapotoa sadaka hutakiwi kutangaza huku wakiwa wamesahau kuwa mimi ni msanii na msanii ni kioo cha jamii natakiwa nifanye mambo mazuri na kuionyesha jamii ili nawao waige yale mazuri niyafanyayo.
WANAMAHITAJI MENGI WANAYO HITAJI
KAMA VITANDA,MAGODORO,MASHUKA,VYANDARUA
Napenda kuongea jambo moja kuna watu wanasema nikitoa mkono wa kushoto wakulia usijue wakiwa namaana unapotoa sadaka hutakiwi kutangaza huku wakiwa wamesahau kuwa mimi ni msanii na msanii ni kioo cha jamii natakiwa nifanye mambo mazuri na kuionyesha jamii ili nawao waige yale mazuri niyafanyayo.
Hawa watoto wanaishi mbali sana nasehemu wanayoishi hakuna huduma za muhimu zilizopo karibu mfano Maduka,Hospital,Shule n.k hawana usafiri kusema mtoto akiumwa usiku wamuwahishe hospital je tusipo tangaza nani atajua kuna watu wanahitaji msaada?
HIVYO NI BAADHI YA VITANDA VYA WATOTO HAOWANAMAHITAJI MENGI WANAYO HITAJI
KAMA VITANDA,MAGODORO,MASHUKA,VYANDARUA
Monday, 1 June 2015
WABUNGE NA MAWAZIRI WAISIFIA MTAA KWA MTAA
Baada ya kuona Mastar wakiisifia MTAA KWA MTAA sasa Nisha apata msg
kutoka kwa wabunge pamoja na mawaziri wakimpongeza kwa kazi nzuri
aliyoifanya ndani ya MTAA KWA MTAA. Ndani ya hiyo movie kuna mastar nao
waliofanya yao kati ya mastar hao ni Asha Boko,Hemed Suleiman,Diana
Kimary,Tausi Mdegela pamoja na mtoto wake Salma Jabu Nisha ambaye
ameonyesha uwezo mkubwa anajulikana kama Iptysam Othman. Kama ilivyo
kawaida ya Nisha's film huwa haiwachi wasanii wachanga nao wakafanya yao
humo.
Subscribe to:
Posts (Atom)