Wednesday, 24 June 2015

Komedi Kumpeleka Nisha Ughaibuni

Sikutaka kusema mapema ila wameniwahi,..
😢tukijaaliwa na ahsante M'Mungu we ni mwema sana... Kikubwa ahsanteni sana mashabiki zangu wote,nyi ndo mnaotenda haya.
Management yng yote ahsante...
#MTAAKWAMTAA ahsante 😢😭dah
Nisha punguza comedy haikufai.. guyz kwny ugali usichague kikubwa kiwe halali ☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆



Sunday, 21 June 2015

Hii Ndioo Maana Ya Msemo Wa Msanii Ni Kioo Cha Jamii

Namshukuru M/MUNGU kwa kuweza kutusaidia kufanikisha jambo nililolipanga kuwa iwe kawaida yangu kuwasaidia wale wenye matatizo na waishio katika mazingira magumu napenda kuwashukuru watoto wangu TEAM NISHA kwa kujumuika nami jana bila kujali umbali tuliokwenda pia natoa shukrani zangu za dhati kwa vyombo vya habari.
Napenda kuongea jambo moja kuna watu wanasema nikitoa mkono wa kushoto wakulia usijue wakiwa namaana unapotoa sadaka hutakiwi kutangaza huku wakiwa wamesahau kuwa mimi ni msanii na msanii ni kioo cha jamii natakiwa nifanye mambo mazuri na kuionyesha jamii ili nawao waige yale mazuri niyafanyayo.
Hawa watoto wanaishi mbali sana nasehemu wanayoishi hakuna huduma za muhimu zilizopo karibu mfano Maduka,Hospital,Shule n.k hawana usafiri kusema mtoto akiumwa usiku wamuwahishe hospital je tusipo tangaza nani atajua kuna watu wanahitaji msaada?
                              HIVYO NI BAADHI YA VITANDA VYA WATOTO HAO

                                 WANAMAHITAJI MENGI WANAYO HITAJI
                                KAMA VITANDA,MAGODORO,MASHUKA,VYANDARUA




Monday, 1 June 2015

WABUNGE NA MAWAZIRI WAISIFIA MTAA KWA MTAA

Baada ya kuona Mastar wakiisifia MTAA KWA MTAA sasa Nisha apata msg kutoka kwa wabunge pamoja na mawaziri wakimpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya ndani ya MTAA KWA MTAA. Ndani ya hiyo movie kuna mastar nao waliofanya yao kati ya mastar hao ni Asha Boko,Hemed Suleiman,Diana Kimary,Tausi Mdegela pamoja na mtoto wake Salma Jabu Nisha ambaye ameonyesha uwezo mkubwa anajulikana kama Iptysam Othman. Kama ilivyo kawaida ya Nisha's film huwa haiwachi wasanii wachanga nao wakafanya yao humo.