Tuesday, 12 May 2015

IPTYSAMA OTHMAN AMLIZA MAMA YAKE KWENYE MTAA KWA MTAA



Nyota njema huonekana asubuhi, namshukuru M'Mungu kwa hiki kipaji alichompa mwanangu Iptysam,aliweza kuonesha kwny Angel akiwa na miaka mi4.. tu ila haijatosha kwny zilizofata.. kikubwa zaiidi ktk MTAA KWA MTAA hadi nilijikuta machozi yananitoka,sasa humu ni TAUSI MDEGELA na IPTYSAM wanachuanaje 😂😂😂 utacheka pale Tausi anapoambiwa na Ipty akitaka aamkiwe na amuone mkubwa amshike kichwa wakiwa wamesimama wote 😅😅😅 nawapenda sanaa dah!!! #MTAAKWAMTAA coming soon!!!




                                             IPTYSAM  OTHMAN
                                 IPTYSAM  OTHMAN
                                      TAUSI MDEGELA NA IPTYSAM  OTHMAN




No comments:

Post a Comment