Nyota njema huonekana asubuhi, namshukuru M'Mungu kwa hiki kipaji alichompa mwanangu Iptysam,aliweza kuonesha kwny Angel akiwa na miaka mi4.. tu ila haijatosha kwny zilizofata.. kikubwa zaiidi ktk MTAA KWA MTAA hadi nilijikuta machozi yananitoka,sasa humu ni TAUSI MDEGELA na IPTYSAM wanachuanaje 😂😂😂 utacheka pale Tausi anapoambiwa na Ipty akitaka aamkiwe na amuone mkubwa amshike kichwa wakiwa wamesimama wote 😅😅😅 nawapenda sanaa dah!!! #MTAAKWAMTAA coming soon!!!
IPTYSAM OTHMAN
IPTYSAM OTHMAN
TAUSI MDEGELA NA IPTYSAM OTHMAN
No comments:
Post a Comment