Tuesday, 26 May 2015

MTAA KWA MTAA Toka Kwa Nisha, Hemedy, Asha Boko, Diana Kimaro Alhamisi Hii Kuingia Sokoni.

Filamu kali sana ya MTAA KWA MTAA toka kwa mastaa wa filamu nchini Salma Jabu Nisha, Hemedy, Diana Kimaro, Tausi mdegela, Asha Boko na Manaiki Sanga inatarajiwa kuingia rasmi sokoni alhamisi ya wikii. Filamu hiyo iliyoongozwa na Lamata Leah Mwendamseke tayari imeonekana kuwabamba watu wengi kupitia promo za picha mbali mbali. Utaikosaje sasa !. Hakikisha unanunua nakala yako halisi. Anaglia baaadhi ya picha toka filamu hiyo........


No comments:

Post a Comment