Sunday, 24 May 2015

TUKUTANE SOKONI-NISHA

Kwanza napenda kumshuru m/mungu kwa kila kitu pia napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa mashabiki zangu kwa kuweza kunipigia kura yaliyo pita sindwele tugange yajayo. Ninachopenda kuwaambia mshabiki zangu zitovunjika moyo nitaendelea kuwapa burudani na mwisho wa mwezi huu filamu mpya kutoka Nisha's film inayojulikana kama MTAA KWA MTAA itaingia sokoni hivyo msikose kununua nakala original. Napia napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa baba yangu kipenzi King Majuto kwa kuweza kuchukua tuzo na wote kwa ujumla nawaambia nawapenda sana kikubwa tuongeze juhudi katika kazi na upendo naimani tutafika pale tunapopataka.        
                       MTAA KWA MTAA MWISHO WA MWEZI HUU KUWA MTAANI

No comments:

Post a Comment